|
Shukrani toka kwa Familia ya LusinguFamilia ya Mzee na Mama Elton Lusingu wa mjini Arusha Tanzania, wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa wale wote walioshirikiana na familia wakati wote wa kuuguza na wa msiba wa mke wa kijana wao Marehemu Sophia H. Gerald Lusingu. Tungependa kutoa shukrani zetu za pekee kwa Ndugu, jamaa na marafiki hasa Watanzania wote nchini Uingereza ambao kwa kushirikiana na kamati iliosimamia shughuli zote za msiba walihakikisha kwamba wametoa msaada wowote uliohitajika, ikiwa ni pamoja na kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania! Kwa heshima hio hio tungependa pia kuwashukuru viongozi wa taasisi mbalimbali za kidini, serikali na binafsi kwa ushirikiano wao katika kipindi chote hicho. Mwisho tunawashukuru wote waliotukumbuka katika sala na maombi, tunaamini kwamba mafanikio ya mambo yote yalitokana na maombi na sala zenu. Tunawaombeeni baraka na mafanikio katika shughuli zenu zote. "BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA" ASANTENI SANA, Familia ya Lusingu Arusha Tanzania na Reading (UK) REVEALED: WHY GOVERNMENT LOST SH74 BILLION IN DUTCH SUPPORT Tanzania lost a total of 40 million euros (about Sh74 billion) in Dutch aid last year, The Citizen has reliably learnt.
Reliable sources within the government and the Netherlands embassy told The Citizen that the Netherlands withheld the aid after it failed to reach a consensus with Tanzania in three areas. "Some $10 million (Sh13 billion) was earmarked for water projects, but was not released because of slow progress by the water sector group," said a source on condition of strict anonymity. MALI DISLODGES TANZANIA AS NO 3 GOLD PRODUCER Mali has dislodged Tanzania as the third largest gold producer in Africa, according to The Economist magazine.
South Africa is still by far the largest gold producer, having taken out of the ground a whopping 240 tonnes of the precious metal last year. It is followed by Ghana (80 tonnes), Mali (60 tonnes) and Tanzania (50 tonnes). Tanzania dropped to fourth despite gold production in the country having risen from 39.8 tonnes in 2008, an increase of over ten tonnes. Burkina Faso occupies the fifth slot, having doubled gold production to 40 tonnes in 2009. NATIONAL IDS 'OUT THIS YEAR', SAYS AUTHORITY Nida executive director said in Dar es Salaam that the process of engaging the company that would produce the IDs was in the final stages. The $176 million (about Sh200 billion) project has been delayed for decades now with documents, meetings and tendering moving from one office to the other. And now it has attracted the international community, including the World Bank. CCM LEGISLATORS DISCUSS PROPOSED ELECTION LAW The proposed law intends to create level playing field for parliamentary aspirants by putting limitations of funds to be spent on electoral campaigns, as well as seeking political parties to account for their resources and disclose sources. Some MPs demanded for more time so that public education could be held on the intentions of the proposed law, while most opposition politicians viewed it as a plan by the state to silence their parties ahead of the October General Elections. MORE NEWS
|
LATEST CLASSIFIEDSLATEST FORUM POSTS
MEMBER COMMENTS
FUNNY STUFFONLINE PEOPLE
|