LATEST NEWS/HABARI MPYA |
|
|
Written by Salehe Mohamed
|
|
Tuesday, 08 July 2008 |
|
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema uamuzi wa kumsimamisha uongozi Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Chacha Wangwe, ni mzito na mgumu, lakini ulikuwa lazima ufanyike ili kukinusuru chama kilichokuwa kinaelekea kusambaratika.
www.emigrateusa.net
Alisema CHADEMA iliogopa yasije yakawafika yaliyowafika ndugu zao wa NCCR-Mageuzi ambao walisambaratika kutokana na baadhi ya viongozi kutumiwa kukivuruga chama hicho kilichokuwa na nguvu zaidi miaka kumi iliyopita.
www.foreclosedusa.net
Kauli hiyo aliitoa juzi jioni mkoani hapa, alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara ambao ulikuwa na lengo la kuwapongeza wanachama wa CHADEMA kwa kufanikiwa kunyakua viti vitano vya Serikali ya Mtaa wa Msikiti. Be first to comment this article | Add as favourites (4) | Quote this article on your site |
|
Last Updated ( Tuesday, 08 July 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
Written by Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti
|
|
Monday, 07 July 2008 |
|
MKUTANO
WA
NENO LA MUNGU NA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE KUTOKA
TANZANIA
: READING
UK
08-10 /08/ 2008.
Mwl/ Christopher Mwakasege Fanuel Sedekia.
Jumuiya ya wakristo katika Uingereza na Ulaya inawakaribisha katika mkutano wa neno la Mungu utakokuwa ukiendeshwa na mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege kutoka
Tanzania
.
Mwlm Mwakasege ni Mchumi na Mwalimu wa neno la Mungu ambaye mafundisho yake hayana mlengo wa aina moja tu. Njoo ufaidike katika maeneo yote ya maisha.
MATARAJIO
-
Wenye shida za kiroho, nafsi, mwili mnakaribishwa mpate majibu ya maswali yenu.
-
Mafundisho ya namna ya kujikomboa kiuchumi kwa mujibu wa neno la Mungu yatafundishwa
-
Nyimbo za Injili kutoka Mwanamziki wa Injili Fanuel Sedekia kutoka Arusha
-
Timu ya Injili na uimbaji kutoka
Norway
inatarajiwa kuwepo.
Huu utakuwa wakati wa baraka
sana
jitahidi usikose nafasi hii ya pekee na Mungu atakubariki.ANWANI YA UKUMBI
Rivermead Complex Leisure Centre,
Richfield Avenue
, reading
Berkshire
,
RG1 8EQ
Mikutano itakuwa inaanza asubuhi saa nne paka saa moja jioni kwa siku zote tatu.
MAELEZO ZAIDI: Wasiliana na /Reading Lillian 07846700927, Birmingham-07776358464 Jackson Kapama, London 07817479845 Elias Mwema, Milton Keynes, 07787357618, Jane maneno,-Brighton,07950324330 Joyce Jacob.
Southampton
07717435287 Sekela Komba
07944632826./ Rev, Emmanuel Chatawe-Mwenyekiti
07983615387 /Timothy Kyara- Katibu mkuu.
KARIBUNI WOTE.
Comments (1) | Add as favourites (6) | Quote this article on your site |
|
Last Updated ( Monday, 07 July 2008 )
|
|
|
BUSINESS AND ECONOMY/UCHUMI NA BIASHARA
|
Written by CHARLES KIZIGHA
|
|
Tuesday, 08 July 2008 |
|
An assessment of prawns stock in the Tanzanian waters in the Indian Ocean will start soon, a senior government official told the 'Daily News'. The count is being taken to establish the magnitude of depletion of prawns stock in the sea as a result of unregulated trawling.
www.domainrich.net , www.flatrentaluk.com , www.diversityvisausa.com
There are fears that recovery of depleted stocks might take up to 10 years, instead of a year. The government recently suspended commercial trawling for prawns until next year to allow multiplication because harvesting level season dropped from 1,500 to 300 tonnes.
Commercial trawling for prawns (white, giant, tiger, brown and flower) in Tanzania is conducted in the Coast Region, mainly at Kisiju, Rufiji and Bagamoyo. The Director of Fisheries, Dr Geofrey Nanyaro, told the 'Daily News' today that stock assessment survey on prawns would start soon to determine the state of recovery before March, which is the beginning of the season. Be first to comment this article | Add as favourites (4) | Quote this article on your site |
|
Last Updated ( Tuesday, 08 July 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
Written by MIKE MANDE
|
|
Monday, 07 July 2008 |
|
The Tanzanian government will provide an additional $7 million for the construction of the underground electrical cable from the mainland to Pemba through the Indian ocean.
Mustafa Mkulo, the Minister for Finance and Economic Affairs, said the money released by the Tanzanian government will be added to the $20 million provided by the government of Norway for the implementation of the project.
Mr Mkulo said the money will be released in three phases. The first and second batches will be $2.5 million and will be released this year and next year respectively.
“The other $2.5 million will be released in 2010 when the project will be completed,” he said. Be first to comment this article | Add as favourites (3) | Quote this article on your site |
|
Read more...
|
|
|
Written by CHRISTINE AFANDI
|
|
Monday, 07 July 2008 |
|
The issue of foreign owned tourist hotels in Tanzania being exempted from paying tax has generated heated debate in parliament with most parliamentarians openly opposed to the tax holiday.
The MPs say the exemption gives undue advantage to foreign investors over locals.
While contributing to the debate on this year’s budget, most MPs were in agreement that the government should review the tax holiday with the aim of reducing or completely doing away with it as soon as possible.
Opinion was unanimous that the five year tax holiday offered by the government as an incentive to lure potential investors into the lucrative tourism and hotel industry was a burden to the country. Be first to comment this article | Add as favourites (5) | Quote this article on your site |
|
Last Updated ( Monday, 07 July 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
POLITICS/SIASA
|
Written by Kulwa Mzee, Dodoma
|
|
Wednesday, 09 July 2008 |
|
*Upinzani wataka Meremeta isijadiliwe kisiasa
SPIKA wa Bunge la Serikali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samwel Sitta amesema Mbunge wa Bukoba Vijijini, Bw. Nazir Karamagi, hakusema uongo kuhusiana na mkataba wa Kampuni ya Kupakia na Kushusha Makontena bandarini (TICTS).
Spika alisema hayo jana bungeni kabla ya kusomwa kwa bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini ya mwaka wa fedha 2008/9.
Alisema awali, Bw. Karamagi alitakiwa kutoa uthibitisho wa kauli yake kwamba suala la mkataba wa TICTS lilipata baraka za Baraza la Mawaziri.
Spika alisema uthibitisho alioupata ni kwamba mkataba wa TICTS ulifuata taratibu zote za Serikali, kwa maana hiyo ulipata baraka za Baraza la Mawaziri, hivyo Bw. Karamagi hakusema uongo.
Be first to comment this article | Add as favourites (0) | Quote this article on your site |
|
Read more...
|
| |
|
|
Written by Godfrey God, Iringa
|
|
Tuesday, 08 July 2008 |
|
NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anna Makinda amewakoromea baadhi ya wabunge na watu wanaofanya kazi ya kuwasafisha mafisadi kuacha mara moja kwa madai kuwa hawawatendei haki Watanzania wenzao.
www.getrichwithdomains.net
Makinda ambaye pia ni Mbunge wa Njombe Kusini, alitoa kauli hiyo nzito jana wakati akiwasalimia wapiga kura wake katika Kata ya Njombe Mjini kwenye mkesha wa Mwenge wa Uhuru.
www.jokescentre.com
Ametoa kauli hiyo kipindi ambacho Bunge limegawanyika makundi mawili, moja likiwatetea mafisadi, lingine likiwapinga huku likiishinikiza serikali kuchukua hatua.
www.cholarshipsus.com
Ingawa hakutaja majina ya watu wanaofanya kazi ya kuwasafisha mafisadi, Makinda alisema binafsi amekuwa akishangazwa na baadhi ya wabunge wa aina hiyo. Be first to comment this article | Add as favourites (2) | Quote this article on your site |
|
Last Updated ( Tuesday, 08 July 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
More...
|
OPINION
|
Written by Mobini Sarya
|
|
Tuesday, 08 July 2008 |
|
 CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoa tamko la kupanda kwa bei ya mafuta akirejea ahadi zake za maisha bora kwa kila Mtanzania aliyowaahidi Watanzania.
Aidha kimehoji sababu ambazo zimemfanya Rais Kikwete aache kuhutubia taifa kupitia vyombo vya habari kama ilivyokuwa kawaida yake kila mwezi ambapo kwa miezi miwili sasa, hajalihutubia taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Idara ya Itikadi na Mafunzo, George Kahangwa, alisema chama hicho kinawapa pole Watanzania kwa ugumu wa maisha unaosababishwa na kupanda bei ya mafuta.
Alisema ni vema Rais Kikwete akatoa tamko la ufumbuzi wa tatizo hilo ili wananchi waweze kufikia ahadi iliyotolewa ya kupatiwa maisha bora. Be first to comment this article | Add as favourites (3) | Quote this article on your site |
|
Read more...
|
|
|
Written by KARL LYIMO lyimok@gmail.com
|
|
Monday, 07 July 2008 |
|
Shifting the capital of Tanzania from Dar-es-Salaam to Dodoma is one of the longest government projects in the country’s 47-year post-independence history. It must also be one of the most erratic wishy-washy affairs.
The project was initiated by the late President Julius Nyerere in 1972, who liked Dodoma for its central | |
|
|